Rebecca Shaw alikuta kila kitu kikiwa kimevurugika nyumbani kwake baada ya Geraghty kuvamia.
Rebecca aliporudi nyumbani kwake alikuta vioo katika kitanda chake, mashuka yakiwa yamechanwa na nyumba yake ikiwa haitamaniki kwa uhalibifu uliofanywa na Martin aliyekuwa na hasira za kuachwa.
Martin alivunja vyombo na kuvitupa nje kupitia madirisha aliyoyavunja na kuharibu kila kitu alichokiona mbele yake pamoja na gari la Rebecca lililokuwa nje ya nyumba. Pia alivunja midoli ya mtoto wa Rebecca mwenye miaka minne na kurusha vyakula hovyo pamoja na 'tomato sauce' ukutani na sakafuni.
(PICHA NA DAILY MAIL)
TUPE MAONI YAKO HAPO CHINI
[MATUSI HAYARUSIWI]
[MATUSI HAYARUSIWI]
0 comments:
Post a Comment
Note: only a member of this blog may post a comment.